Ash-Shu'ara · 44/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَأَلْقَوْا حِبَالَهُمْ وَعِصِيَّهُمْ وَقَالُوا بِعِزَّةِ فِرْعَوْنَ إِنَّا لَنَحْنُ الْغَالِبُونَ ۝٤٤
Fa alqaw hibaalahum wa `isiyyahum wa qaaloo bi`izzati Fir`awna innaa lanahnul ghaaliboon
📖 Kwa Kiswahili
Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi hapana shaka ni wenye kushinda.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 42-46 — Ash-Shu'ara

42قَالَ نَعَمْ وَإِنَّكُمْ إِذًا لَّمِنَ الْمُقَرَّبِينَ
Naam! Na hakika mtakuwa katika watu wa mbele.
43قَالَ لَهُم مُّوسَىٰ أَلْقُوا مَا أَنتُم مُّلْقُونَ
Musa akwaambia: Tupeni mnavyo taka kutupa.
44فَأَلْقَوْا حِبَالَهُمْ وَعِصِيَّهُمْ وَقَالُوا بِعِزَّةِ فِرْعَوْنَ إِنَّا لَنَحْنُ الْغَالِبُونَ
Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa nguvu za Firauni hakika sisi hapana shaka ni wenye kushinda.
45فَأَلْقَىٰ مُوسَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ تَلْقَفُ مَا يَأْفِكُونَ
Musa tena akatupa fimbo yake, nayo mara ikavimeza walivyo vizua.
46فَأُلْقِيَ السَّحَرَةُ سَاجِدِينَ
Hapo wachawi walipinduka wakasujudu.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
44Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 44

Sura Ash-Shu'ara Aya 44 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi wakatupa kamba zao na fimbo zao, na wakasema: Kwa…

Sura Aya 44/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 42–46. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema