Ash-Shu'ara · 59/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
كَذَٰلِكَ وَأَوْرَثْنَاهَا بَنِي إِسْرَائِيلَ ۝٥٩
Kazaalika wa awrasnaahaa Baneee Israaa`eel
📖 Kwa Kiswahili
Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 57-61 — Ash-Shu'ara

57فَأَخْرَجْنَاهُم مِّن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
58وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
59كَذَٰلِكَ وَأَوْرَثْنَاهَا بَنِي إِسْرَائِيلَ
Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.
60فَأَتْبَعُوهُم مُّشْرِقِينَ
Basi wakawafuata lilipo chomoza jua.
61فَلَمَّا تَرَاءَى الْجَمْعَانِ قَالَ أَصْحَابُ مُوسَىٰ إِنَّا لَمُدْرَكُونَ
Na yalipo onana majeshi mawili haya, watu wa Musa wakasema: Hakika sisi bila ya shaka tumepatikana!
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
59Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 59

Sura Ash-Shu'ara Aya 59 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.

Sura Aya 59/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 57–61. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema