Ash-Shu'ara · 90/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَأُزْلِفَتِ الْجَنَّةُ لِلْمُتَّقِينَ ۝٩٠
Wa uzlifatil Jannatu lilmuttaqeen
📖 Kwa Kiswahili
Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 88-92 — Ash-Shu'ara

88يَوْمَ لَا يَنفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.
89إِلَّا مَنْ أَتَى اللَّهَ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi.
90وَأُزْلِفَتِ الْجَنَّةُ لِلْمُتَّقِينَ
Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.
91وَبُرِّزَتِ الْجَحِيمُ لِلْغَاوِينَ
Na Jahannamu itadhihirishwa kwa wapotovu.
92وَقِيلَ لَهُمْ أَيْنَ مَا كُنتُمْ تَعْبُدُونَ
Na wataambiwa: Wako wapi mlio kuwa mkiwaabudu
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
90Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 90

Sura Ash-Shu'ara Aya 90 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.

Sura Aya 90/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 88–92. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema