As-Saffat · 148/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَآمَنُوا فَمَتَّعْنَاهُمْ إِلَىٰ حِينٍ ۝١٤٨
Fa aamanoo famatta` naahum ilaa heen
📖 Kwa Kiswahili
Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 146-150 — As-Saffat

146وَأَنبَتْنَا عَلَيْهِ شَجَرَةً مِّن يَقْطِينٍ
Na tukauotesha juu yake mmea wa kabila ya mung'unye.
147وَأَرْسَلْنَاهُ إِلَىٰ مِائَةِ أَلْفٍ أَوْ يَزِيدُونَ
Na tulimtuma kwa watu laki moja au zaidi.
148فَآمَنُوا فَمَتَّعْنَاهُمْ إِلَىٰ حِينٍ
Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.
149فَاسْتَفْتِهِمْ أَلِرَبِّكَ الْبَنَاتُ وَلَهُمُ الْبَنُونَ
Basi waulize: Ati Mola wako Mlezi ndiye mwenye watoto wa kike, na wao wanao watoto wa kiume?
150أَمْ خَلَقْنَا الْمَلَائِكَةَ إِنَاثًا وَهُمْ شَاهِدُونَ
Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
148Aya

Tafsiri — As-Saffat 148

Sura As-Saffat Aya 148 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi wakaamini, na tukawastarehesha kwa muda.

Sura Aya 148/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 146–150. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema