As-Saffat · 36/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَيَقُولُونَ أَئِنَّا لَتَارِكُو آلِهَتِنَا لِشَاعِرٍ مَّجْنُونٍ ۝٣٦
Wa yaqooloona a`innaa lataarikooo aalihatinaa lishaa`irim majnoon
📖 Kwa Kiswahili
Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 34-38 — As-Saffat

34إِنَّا كَذَٰلِكَ نَفْعَلُ بِالْمُجْرِمِينَ
Hivyo ndivyo tutakavyo wafanyia wakosefu.
35إِنَّهُمْ كَانُوا إِذَا قِيلَ لَهُمْ لَا إِلَٰهَ إِلَّا اللَّهُ يَسْتَكْبِرُونَ
Wao walipo kuwa wakiambiwa La ilaha illa 'Llahu Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu tu, wakijivuna.
36وَيَقُولُونَ أَئِنَّا لَتَارِكُو آلِهَتِنَا لِشَاعِرٍ مَّجْنُونٍ
Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?
37بَلْ جَاءَ بِالْحَقِّ وَصَدَّقَ الْمُرْسَلِينَ
Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.
38إِنَّكُمْ لَذَائِقُو الْعَذَابِ الْأَلِيمِ
Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — As-Saffat 36

Sura As-Saffat Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya…

Sura Aya 36/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema