As-Saffat · 53/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَدِينُونَ ۝٥٣
A-izaa mitnaa wa kunnaa turaabanw wa `izaaman `ainnaa lamadeenoon
📖 Kwa Kiswahili
Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 51-55 — As-Saffat

51قَالَ قَائِلٌ مِّنْهُمْ إِنِّي كَانَ لِي قَرِينٌ
Aseme msemaji mmoja miongoni mwao: Hakika mimi nalikuwa na rafiki
52يَقُولُ أَإِنَّكَ لَمِنَ الْمُصَدِّقِينَ
Aliye kuwa akinambia: Hivyo wewe ni katika wanao sadiki
53أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَدِينُونَ
Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na kuhisabiwa?
54قَالَ هَلْ أَنتُم مُّطَّلِعُونَ
Atasema: Je! Nyie mnawaona?
55فَاطَّلَعَ فَرَآهُ فِي سَوَاءِ الْجَحِيمِ
Basi atachungulia amwone katikati ya Jahannamu.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
53Aya

Tafsiri — As-Saffat 53

Sura As-Saffat Aya 53 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ati tukisha kufa tukawa udongo na mafupa, ndio tutalipwa na…

Sura Aya 53/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 51–55. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema