As-Saffat · 66/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَإِنَّهُمْ لَآكِلُونَ مِنْهَا فَمَالِئُونَ مِنْهَا الْبُطُونَ ۝٦٦
Fa innahum la aakiloona minhaa famaali`oona minhal butoon
📖 Kwa Kiswahili
Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 64-68 — As-Saffat

64إِنَّهَا شَجَرَةٌ تَخْرُجُ فِي أَصْلِ الْجَحِيمِ
Hakika huo ni mti unao toka katikati ya Jahannamu.
65طَلْعُهَا كَأَنَّهُ رُءُوسُ الشَّيَاطِينِ
Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.
66فَإِنَّهُمْ لَآكِلُونَ مِنْهَا فَمَالِئُونَ مِنْهَا الْبُطُونَ
Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.
67ثُمَّ إِنَّ لَهُمْ عَلَيْهَا لَشَوْبًا مِّنْ حَمِيمٍ
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
68ثُمَّ إِنَّ مَرْجِعَهُمْ لَإِلَى الْجَحِيمِ
Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
66Aya

Tafsiri — As-Saffat 66

Sura As-Saffat Aya 66 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze…

Sura Aya 66/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 64–68. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema