As-Saffat · 67/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
ثُمَّ إِنَّ لَهُمْ عَلَيْهَا لَشَوْبًا مِّنْ حَمِيمٍ ۝٦٧
Summa inna lahum `alaihaa lashawbam min hameem
📖 Kwa Kiswahili
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 65-69 — As-Saffat

65طَلْعُهَا كَأَنَّهُ رُءُوسُ الشَّيَاطِينِ
Mashada ya matunda yake kama kwamba vichwa vya mashet'ani.
66فَإِنَّهُمْ لَآكِلُونَ مِنْهَا فَمَالِئُونَ مِنْهَا الْبُطُونَ
Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.
67ثُمَّ إِنَّ لَهُمْ عَلَيْهَا لَشَوْبًا مِّنْ حَمِيمٍ
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
68ثُمَّ إِنَّ مَرْجِعَهُمْ لَإِلَى الْجَحِيمِ
Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.
69إِنَّهُمْ أَلْفَوْا آبَاءَهُمْ ضَالِّينَ
Hakika waliwakuta baba zao wamepotea.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
67Aya

Tafsiri — As-Saffat 67

Sura As-Saffat Aya 67 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.

Sura Aya 67/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 65–69. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema