Az-Zukhruf · 5/89
Tafsiri Uandishi wa sauti — Az-Zukhruf
أَفَنَضْرِبُ عَنكُمُ الذِّكْرَ صَفْحًا أَن كُنتُمْ قَوْمًا مُّسْرِفِينَ ۝٥
Afanadribu `ankumuz Zikra safhan an kuntum qawmam musrifeen
📖 Kwa Kiswahili
Je! Tuache kukukumbusheni kabisa kwa kuwa nyinyi ni watu mlio pita mipaka kwa ukafiri?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 3-7 — Az-Zukhruf

3إِنَّا جَعَلْنَاهُ قُرْآنًا عَرَبِيًّا لَّعَلَّكُمْ تَعْقِلُونَ
Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu.
4وَإِنَّهُ فِي أُمِّ الْكِتَابِ لَدَيْنَا لَعَلِيٌّ حَكِيمٌ
Na hakika hiyo imo katika Asili ya Maandiko yalioko kwetu, ni tukufu na yenye hikima.
5أَفَنَضْرِبُ عَنكُمُ الذِّكْرَ صَفْحًا أَن كُنتُمْ قَوْمًا مُّسْرِفِينَ
Je! Tuache kukukumbusheni kabisa kwa kuwa nyinyi ni watu mlio pita mipaka kwa ukafiri?
6وَكَمْ أَرْسَلْنَا مِن نَّبِيٍّ فِي الْأَوَّلِينَ
Na Manabii wangapi tuliwatuma kwa watu wa zamani!
7وَمَا يَأْتِيهِم مِّن نَّبِيٍّ إِلَّا كَانُوا بِهِ يَسْتَهْزِئُونَ
Na hawajii Nabii yeyote ila walikuwa wakimkejeli.
Az-ZukhrufFaharasa ya Qurani
89Aya
MakkaRevelation
5Aya

Tafsiri — Az-Zukhruf 5

Sura Az-Zukhruf Aya 5 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Tuache kukukumbusheni kabisa kwa kuwa nyinyi ni watu mlio…

Sura Aya 5/89 — Az-Zukhruf الزخرف (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Az-Zukhruf Sikiliza, Az-Zukhruf Tafsiri, Az-Zukhruf mp3, Az-Zukhruf pdf. Aya 3–7. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema