Qaf · 3/45
Tafsiri Uandishi wa sauti — Qaf
أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا ۖ ذَٰلِكَ رَجْعٌ بَعِيدٌ ۝٣
A-izaa mitnaa wa kunnaa turaaban zaalika raj`um ba`eed
📖 Kwa Kiswahili
Ati tukifa na tukawa udongo...? Kurejea huko kuko mbali!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-5 — Qaf

1ق ۚ وَالْقُرْآنِ الْمَجِيدِ
Qaaf. Naapa kwa Qur'ani tukufu!
2بَلْ عَجِبُوا أَن جَاءَهُم مُّنذِرٌ مِّنْهُمْ فَقَالَ الْكَافِرُونَ هَٰذَا شَيْءٌ عَجِيبٌ
Bali wanastaajabu kwamba amewafikia mwonyaji kutoka miongoni mwao, na wakasema makafiri: Hili ni jambo la ajabu!
3أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا ۖ ذَٰلِكَ رَجْعٌ بَعِيدٌ
Ati tukifa na tukawa udongo...? Kurejea huko kuko mbali!
4قَدْ عَلِمْنَا مَا تَنقُصُ الْأَرْضُ مِنْهُمْ ۖ وَعِندَنَا كِتَابٌ حَفِيظٌ
Hakika Sisi tunajua kiasi cha kila kinacho punguzwa na ardhi kutokana nao. Na kwetu kipo Kitabu kinacho hifadhi yote.
5بَلْ كَذَّبُوا بِالْحَقِّ لَمَّا جَاءَهُمْ فَهُمْ فِي أَمْرٍ مَّرِيجٍ
Lakini waliikanusha Haki ilipo wajia; kwa hivyo wamo katika mambo ya mkorogo.
QafFaharasa ya Qurani
45Aya
MakkaRevelation
3Aya

Tafsiri — Qaf 3

Sura Qaf Aya 3 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ati tukifa na tukawa udongo...? Kurejea huko kuko mbali!

Sura Aya 3/45 — Qaf ق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Qaf Sikiliza, Qaf Tafsiri, Qaf mp3, Qaf pdf. Aya 1–5. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema