An-Najm · 36/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
أَمْ لَمْ يُنَبَّأْ بِمَا فِي صُحُفِ مُوسَىٰ ۝٣٦
Am lam yunabbaa bimaa fee suhuhfi Moosa
📖 Kwa Kiswahili
Au hakuambiwa yaliyomo katika Vitabu vya Musa?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 34-38 — An-Najm

34وَأَعْطَىٰ قَلِيلًا وَأَكْدَىٰ
Na akatoa kidogo, kisha akajizuia?
35أَعِندَهُ عِلْمُ الْغَيْبِ فَهُوَ يَرَىٰ
Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?
36أَمْ لَمْ يُنَبَّأْ بِمَا فِي صُحُفِ مُوسَىٰ
Au hakuambiwa yaliyomo katika Vitabu vya Musa?
37وَإِبْرَاهِيمَ الَّذِي وَفَّىٰ
Na vya Ibrahimu aliye timiza ahadi?
38أَلَّا تَزِرُ وَازِرَةٌ وِزْرَ أُخْرَىٰ
Ya kwamba hakika nafsi iliyo beba madhambi haibebi madhambi ya mwengine?
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — An-Najm 36

Sura An-Najm Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Au hakuambiwa yaliyomo katika Vitabu vya Musa?

Sura Aya 36/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema