An-Najm · 35/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
أَعِندَهُ عِلْمُ الْغَيْبِ فَهُوَ يَرَىٰ ۝٣٥
A`indahoo `ilmul ghaibi fahuwa yaraa
📖 Kwa Kiswahili
Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 33-37 — An-Najm

33أَفَرَأَيْتَ الَّذِي تَوَلَّىٰ
Je! Umemwona yule aliye geuka?
34وَأَعْطَىٰ قَلِيلًا وَأَكْدَىٰ
Na akatoa kidogo, kisha akajizuia?
35أَعِندَهُ عِلْمُ الْغَيْبِ فَهُوَ يَرَىٰ
Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?
36أَمْ لَمْ يُنَبَّأْ بِمَا فِي صُحُفِ مُوسَىٰ
Au hakuambiwa yaliyomo katika Vitabu vya Musa?
37وَإِبْرَاهِيمَ الَّذِي وَفَّىٰ
Na vya Ibrahimu aliye timiza ahadi?
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
35Aya

Tafsiri — An-Najm 35

Sura An-Najm Aya 35 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Anayo huyo ilimu ya ghaibu, basi ndio anaona?

Sura Aya 35/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 33–37. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema