An-Najm · 44/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
وَأَنَّهُ هُوَ أَمَاتَ وَأَحْيَا ۝٤٤
Wa annahoo huwa amaata wa ahyaa
📖 Kwa Kiswahili
Na kwamba Yeye ndiye anaye fisha na kuhuisha.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 42-46 — An-Najm

42وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ الْمُنتَهَىٰ
Na kwamba kwao Mola wako Mlezi ndio mwisho.
43وَأَنَّهُ هُوَ أَضْحَكَ وَأَبْكَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye anaye leta kicheko na kilio.
44وَأَنَّهُ هُوَ أَمَاتَ وَأَحْيَا
Na kwamba Yeye ndiye anaye fisha na kuhuisha.
45وَأَنَّهُ خَلَقَ الزَّوْجَيْنِ الذَّكَرَ وَالْأُنثَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye aliye umba jozi, dume na jike
46مِن نُّطْفَةٍ إِذَا تُمْنَىٰ
Kutokana na mbegu ya uzazi inapo miminwa.
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
44Aya

Tafsiri — An-Najm 44

Sura An-Najm Aya 44 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwamba Yeye ndiye anaye fisha na kuhuisha.

Sura Aya 44/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 42–46. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema