An-Najm · 43/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
وَأَنَّهُ هُوَ أَضْحَكَ وَأَبْكَىٰ ۝٤٣
Wa annahoo huwa adhaka wa abkaa
📖 Kwa Kiswahili
Na kwamba Yeye ndiye anaye leta kicheko na kilio.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 41-45 — An-Najm

41ثُمَّ يُجْزَاهُ الْجَزَاءَ الْأَوْفَىٰ
Kisha ndio atalipwa malipo yake kwa ukamilifu.
42وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ الْمُنتَهَىٰ
Na kwamba kwao Mola wako Mlezi ndio mwisho.
43وَأَنَّهُ هُوَ أَضْحَكَ وَأَبْكَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye anaye leta kicheko na kilio.
44وَأَنَّهُ هُوَ أَمَاتَ وَأَحْيَا
Na kwamba Yeye ndiye anaye fisha na kuhuisha.
45وَأَنَّهُ خَلَقَ الزَّوْجَيْنِ الذَّكَرَ وَالْأُنثَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye aliye umba jozi, dume na jike
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
43Aya

Tafsiri — An-Najm 43

Sura An-Najm Aya 43 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kwamba Yeye ndiye anaye leta kicheko na kilio.

Sura Aya 43/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 41–45. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema