Ar-Rahman · 43/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
هَٰذِهِ جَهَنَّمُ الَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا الْمُجْرِمُونَ ۝٤٣
Haazihee jahannamul latee yukazzibu bihal mujrimoon
📖 Kwa Kiswahili
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 41-45 — Ar-Rahman

41يُعْرَفُ الْمُجْرِمُونَ بِسِيمَاهُمْ فَيُؤْخَذُ بِالنَّوَاصِي وَالْأَقْدَامِ
Watajuulikana wakosefu kwa alama zao, basi watashikwa kwa nywele zao za utosini na kwa miguu.
42فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
43هَٰذِهِ جَهَنَّمُ الَّتِي يُكَذِّبُ بِهَا الْمُجْرِمُونَ
Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.
44يَطُوفُونَ بَيْنَهَا وَبَيْنَ حَمِيمٍ آنٍ
Watakuwa wakizunguka baina ya hiyo na maji ya moto yanayo chemka.
45فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
43Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 43

Sura Ar-Rahman Aya 43 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hii ndiyo Jahannamu ambayo wakosefu wakiikanusha.

Sura Aya 43/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 41–45. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema