Al-Muddaththir · 49/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
فَمَا لَهُمْ عَنِ التَّذْكِرَةِ مُعْرِضِينَ ۝٤٩
Famaa lahum `anittazkirati mu`rideen
📖 Kwa Kiswahili
Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 47-51 — Al-Muddaththir

47حَتَّىٰ أَتَانَا الْيَقِينُ
Mpaka yakini ilipo tufikia.
48فَمَا تَنفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
49فَمَا لَهُمْ عَنِ التَّذْكِرَةِ مُعْرِضِينَ
Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
50كَأَنَّهُمْ حُمُرٌ مُّسْتَنفِرَةٌ
Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,
51فَرَّتْ مِن قَسْوَرَةٍ
Wanao mkimbia simba!
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
49Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 49

Sura Al-Muddaththir Aya 49 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?

Sura Aya 49/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 47–51. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema