Al-Mutaffifin · 4/36
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mutaffifin
أَلَا يَظُنُّ أُولَٰئِكَ أَنَّهُم مَّبْعُوثُونَ ۝٤
Alaa yazunnu ulaaa`ika annahum mab`oosoon
📖 Kwa Kiswahili
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
🎧 Sikiliza

📜 Aya 2-6 — Al-Mutaffifin

2الَّذِينَ إِذَا اكْتَالُوا عَلَى النَّاسِ يَسْتَوْفُونَ
Ambao wanapo jipimia kwa watu hudai watimiziwe.
3وَإِذَا كَالُوهُمْ أَو وَّزَنُوهُمْ يُخْسِرُونَ
Na wao wanapo wapimia watu kwa kipimo au mizani hupunguza.
4أَلَا يَظُنُّ أُولَٰئِكَ أَنَّهُم مَّبْعُوثُونَ
Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa
5لِيَوْمٍ عَظِيمٍ
Katika Siku iliyo kuu,
6يَوْمَ يَقُومُ النَّاسُ لِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Siku watapo msimamia watu Mola Mlezi wa walimwengu wote?
Al-MutaffifinFaharasa ya Qurani
36Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Al-Mutaffifin 4

Sura Al-Mutaffifin Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani hawadhani hao kwamba watafufuliwa

Sura Aya 4/36 — Al-Mutaffifin المطففين (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mutaffifin Sikiliza, Al-Mutaffifin Tafsiri, Al-Mutaffifin mp3, Al-Mutaffifin pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema