Al-Ghashiya · 6/26
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ghashiya
لَّيْسَ لَهُمْ طَعَامٌ إِلَّا مِن ضَرِيعٍ ۝٦
Laisa lahum ta`aamun illaa min daree
📖 Kwa Kiswahili
Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 4-8 — Al-Ghashiya

4تَصْلَىٰ نَارًا حَامِيَةً
Ziingie katika Moto unao waka -
5تُسْقَىٰ مِنْ عَيْنٍ آنِيَةٍ
Zikinyweshwa kutoka chemchem inayo chemka.
6لَّيْسَ لَهُمْ طَعَامٌ إِلَّا مِن ضَرِيعٍ
Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.
7لَّا يُسْمِنُ وَلَا يُغْنِي مِن جُوعٍ
Hakinenepeshi wala hakiondoi njaa.
8وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ نَّاعِمَةٌ
Siku hiyo nyuso nyengine zitakuwa kunjufu.
Al-GhashiyaFaharasa ya Qurani
26Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — Al-Ghashiya 6

Sura Al-Ghashiya Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hawatakuwa na chakula isipo kuwa kichungu chenye miba.

Sura Aya 6/26 — Al-Ghashiya الغاشية (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ghashiya Sikiliza, Al-Ghashiya Tafsiri, Al-Ghashiya mp3, Al-Ghashiya pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema