Al-Hijr · 48/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
لَا يَمَسُّهُمْ فِيهَا نَصَبٌ وَمَا هُم مِّنْهَا بِمُخْرَجِينَ ۝٤٨
Laa yamas suhum feehaa nasabunw wa maa hum minhaa bimukhrajeen
📖 Kwa Kiswahili
Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 46-50 — Al-Hijr

46ادْخُلُوهَا بِسَلَامٍ آمِنِينَ
(Wataambiwa:) Ingieni kwa salama na amani.
47وَنَزَعْنَا مَا فِي صُدُورِهِم مِّنْ غِلٍّ إِخْوَانًا عَلَىٰ سُرُرٍ مُّتَقَابِلِينَ
Na tutaondoa chuki iliyo kuwamo vifuani mwao, wawe ndugu juu ya viti vya enzi wameelekeana.
48لَا يَمَسُّهُمْ فِيهَا نَصَبٌ وَمَا هُم مِّنْهَا بِمُخْرَجِينَ
Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.
49۞ نَبِّئْ عِبَادِي أَنِّي أَنَا الْغَفُورُ الرَّحِيمُ
Waambie waja wangu ya kwamba Mimi ndiye Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu.
50وَأَنَّ عَذَابِي هُوَ الْعَذَابُ الْأَلِيمُ
Na kwamba adhabu yangu ndio adhabu iliyo chungu!
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
48Aya

Tafsiri — Al-Hijr 48

Sura Al-Hijr Aya 48 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Humo hayatawagusa machofu, wala hawatatolewa humo.

Sura Aya 48/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 46–50. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema