Al-Hijr · 73/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
فَأَخَذَتْهُمُ الصَّيْحَةُ مُشْرِقِينَ ۝٧٣
Fa akhazat humus saihatu mushriqeen
📖 Kwa Kiswahili
Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 71-75 — Al-Hijr

71قَالَ هَٰؤُلَاءِ بَنَاتِي إِن كُنتُمْ فَاعِلِينَ
Akasema: Hawa binti zangu, ikiwa nyinyi ni watendaji.
72لَعَمْرُكَ إِنَّهُمْ لَفِي سَكْرَتِهِمْ يَعْمَهُونَ
Naapa kwa umri wako! Hakika hao walikuwa katika ulevi wao, wakihangaika ovyo.
73فَأَخَذَتْهُمُ الصَّيْحَةُ مُشْرِقِينَ
Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.
74فَجَعَلْنَا عَالِيَهَا سَافِلَهَا وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِّن سِجِّيلٍ
Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.
75إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِّلْمُتَوَسِّمِينَ
Hakika katika hayo zipo ishara kwa waaguzi.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
73Aya

Tafsiri — Al-Hijr 73

Sura Al-Hijr Aya 73 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.

Sura Aya 73/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 71–75. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema