Ash-Shu'ara · 157/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَعَقَرُوهَا فَأَصْبَحُوا نَادِمِينَ ۝١٥٧
Fa`aqaroohaa fa asbahoo naadimeen
📖 Kwa Kiswahili
Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 155-159 — Ash-Shu'ara

155قَالَ هَٰذِهِ نَاقَةٌ لَّهَا شِرْبٌ وَلَكُمْ شِرْبُ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Akasema: Huyu ngamia jike; awe na zamu yake ya kunywa, na nyinyi muwe na zamu yenu ya kunywa katika siku maalumu.
156وَلَا تَمَسُّوهَا بِسُوءٍ فَيَأْخُذَكُمْ عَذَابُ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Wala msimguse kwa uwovu, isije ikakushikeni adhabu ya Siku Kubwa.
157فَعَقَرُوهَا فَأَصْبَحُوا نَادِمِينَ
Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.
158فَأَخَذَهُمُ الْعَذَابُ ۗ إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُم مُّؤْمِنِينَ
Basi ikawapata adhabu. Hakika katika hayo ipo Ishara. Lakini hawakuwa wengi wao wenye kuamini.
159وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
157Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 157

Sura Ash-Shu'ara Aya 157 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Lakini wakamuuwa, na wakawa wenye kujuta.

Sura Aya 157/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 155–159. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema