Ash-Shu'ara · 168/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
قَالَ إِنِّي لِعَمَلِكُم مِّنَ الْقَالِينَ ۝١٦٨
Qaala innee li`amalikum minal qaaleen
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 166-170 — Ash-Shu'ara

166وَتَذَرُونَ مَا خَلَقَ لَكُمْ رَبُّكُم مِّنْ أَزْوَاجِكُم ۚ بَلْ أَنتُمْ قَوْمٌ عَادُونَ
Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!
167قَالُوا لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَا لُوطُ لَتَكُونَنَّ مِنَ الْمُخْرَجِينَ
Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!
168قَالَ إِنِّي لِعَمَلِكُم مِّنَ الْقَالِينَ
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
169رَبِّ نَجِّنِي وَأَهْلِي مِمَّا يَعْمَلُونَ
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
170فَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
168Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 168

Sura Ash-Shu'ara Aya 168 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.

Sura Aya 168/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 166–170. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema