Ash-Shu'ara · 167/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
قَالُوا لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَا لُوطُ لَتَكُونَنَّ مِنَ الْمُخْرَجِينَ ۝١٦٧
Qaloo la`il lam tantahi yaa Lootu latakoonanna minal mukhrajeen
📖 Kwa Kiswahili
Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 165-169 — Ash-Shu'ara

165أَتَأْتُونَ الذُّكْرَانَ مِنَ الْعَالَمِينَ
Je! Katika viumbe vyote mnawaingilia wanaume?
166وَتَذَرُونَ مَا خَلَقَ لَكُمْ رَبُّكُم مِّنْ أَزْوَاجِكُم ۚ بَلْ أَنتُمْ قَوْمٌ عَادُونَ
Na mnaacha alicho kuumbieni Mola wenu Mlezi katika wake zenu? Ama kweli nyinyi ni watu mnao ruka mipaka!
167قَالُوا لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَا لُوطُ لَتَكُونَنَّ مِنَ الْمُخْرَجِينَ
Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!
168قَالَ إِنِّي لِعَمَلِكُم مِّنَ الْقَالِينَ
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
169رَبِّ نَجِّنِي وَأَهْلِي مِمَّا يَعْمَلُونَ
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
167Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 167

Sura Ash-Shu'ara Aya 167 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa…

Sura Aya 167/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 165–169. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema