Ash-Shu'ara · 169/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
رَبِّ نَجِّنِي وَأَهْلِي مِمَّا يَعْمَلُونَ ۝١٦٩
Rabbi najjjinee wa ahlee mimmmaa ya`maloon
📖 Kwa Kiswahili
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 167-171 — Ash-Shu'ara

167قَالُوا لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَا لُوطُ لَتَكُونَنَّ مِنَ الْمُخْرَجِينَ
Wakasema: Ewe Lut'i! Usipo acha, hapana shaka utakuwa miongoni mwa wanao tolewa mji!
168قَالَ إِنِّي لِعَمَلِكُم مِّنَ الْقَالِينَ
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
169رَبِّ نَجِّنِي وَأَهْلِي مِمَّا يَعْمَلُونَ
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
170فَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,
171إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
169Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 169

Sura Ash-Shu'ara Aya 169 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya…

Sura Aya 169/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 167–171. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema