Ash-Shu'ara · 170/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ ۝١٧٠
Fanajjainaahu wa ahlahooo ajma`een
📖 Kwa Kiswahili
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 168-172 — Ash-Shu'ara

168قَالَ إِنِّي لِعَمَلِكُم مِّنَ الْقَالِينَ
Akasema: Hakika mimi ni katika wanao kichukia hichi kitendo chenu.
169رَبِّ نَجِّنِي وَأَهْلِي مِمَّا يَعْمَلُونَ
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
170فَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,
171إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
172ثُمَّ دَمَّرْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawaangamiza wale wengine.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
170Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 170

Sura Ash-Shu'ara Aya 170 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,

Sura Aya 170/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 168–172. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema