Ash-Shu'ara · 171/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ ۝١٧١
Illaa `ajoozan filghaabireen
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 169-173 — Ash-Shu'ara

169رَبِّ نَجِّنِي وَأَهْلِي مِمَّا يَعْمَلُونَ
Mola wangu Mlezi! Niokoe mimi na ahali zangu na haya wayatendayo.
170فَنَجَّيْنَاهُ وَأَهْلَهُ أَجْمَعِينَ
Basi tukamwokoa yeye na ahali zake wote,
171إِلَّا عَجُوزًا فِي الْغَابِرِينَ
Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.
172ثُمَّ دَمَّرْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawaangamiza wale wengine.
173وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِم مَّطَرًا ۖ فَسَاءَ مَطَرُ الْمُنذَرِينَ
Na tukawanyeshea mvua, basi ni ovu mno mvua ya waliyo onywa.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
171Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 171

Sura Ash-Shu'ara Aya 171 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa kikongwe katika walio kaa nyuma.

Sura Aya 171/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 169–173. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema