Ash-Shu'ara · 221/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
هَلْ أُنَبِّئُكُمْ عَلَىٰ مَن تَنَزَّلُ الشَّيَاطِينُ ۝٢٢١
Hal unabbi`ukum `alaa man tanazzalush Shayaateen
📖 Kwa Kiswahili
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 219-223 — Ash-Shu'ara

219وَتَقَلُّبَكَ فِي السَّاجِدِينَ
Na mageuko yako kati ya wanao sujudu.
220إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
221هَلْ أُنَبِّئُكُمْ عَلَىٰ مَن تَنَزَّلُ الشَّيَاطِينُ
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?
222تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ
Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
223يُلْقُونَ السَّمْعَ وَأَكْثَرُهُمْ كَاذِبُونَ
Wanawapelekea yale wanayo yasikia; na wengi wao ni waongo.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
221Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 221

Sura Ash-Shu'ara Aya 221 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?

Sura Aya 221/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 219–223. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema