Ash-Shu'ara · 220/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ ۝٢٢٠
Innahoo Huwas Samee`ul `Aleem
📖 Kwa Kiswahili
Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 218-222 — Ash-Shu'ara

218الَّذِي يَرَاكَ حِينَ تَقُومُ
Ambaye anakuona unapo simama,
219وَتَقَلُّبَكَ فِي السَّاجِدِينَ
Na mageuko yako kati ya wanao sujudu.
220إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.
221هَلْ أُنَبِّئُكُمْ عَلَىٰ مَن تَنَزَّلُ الشَّيَاطِينُ
Je! Nikwambieni nani wanawashukia Mashet'ani?
222تَنَزَّلُ عَلَىٰ كُلِّ أَفَّاكٍ أَثِيمٍ
Wanamshukia kila mzushi mkubwa mwingi wa dhambi.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
220Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 220

Sura Ash-Shu'ara Aya 220 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika Yeye ndiye Mwenye kusikia Mwenye kujua.

Sura Aya 220/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 218–222. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema