Ash-Shu'ara · 23/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
قَالَ فِرْعَوْنُ وَمَا رَبُّ الْعَالَمِينَ ۝٢٣
Qaala Fir`awnu wa maa Rabbul `aalameen
📖 Kwa Kiswahili
Firauni akasema: Na nani huyo Mola Mlezi wa walimwengu wote?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 21-25 — Ash-Shu'ara

21فَفَرَرْتُ مِنكُمْ لَمَّا خِفْتُكُمْ فَوَهَبَ لِي رَبِّي حُكْمًا وَجَعَلَنِي مِنَ الْمُرْسَلِينَ
Basi nikakukimbieni nilipo kuogopeni, tena Mola wangu Mlezi akanitunukia hukumu, na akanijaalia niwe miongoni mwa Mitume.
22وَتِلْكَ نِعْمَةٌ تَمُنُّهَا عَلَيَّ أَنْ عَبَّدتَّ بَنِي إِسْرَائِيلَ
Na hiyo ndiyo neema ya kunisumbulia, na wewe umewatia utumwani Wana wa Israili?
23قَالَ فِرْعَوْنُ وَمَا رَبُّ الْعَالَمِينَ
Firauni akasema: Na nani huyo Mola Mlezi wa walimwengu wote?
24قَالَ رَبُّ السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۖ إِن كُنتُم مُّوقِنِينَ
Akasema: Ndiye Mola Mlezi wa mbingu na ardhi, na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi ni wenye yakini.
25قَالَ لِمَنْ حَوْلَهُ أَلَا تَسْتَمِعُونَ
(Firauni) akawaambia walio mzunguka: Hamsikilizi?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 23

Sura Ash-Shu'ara Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Firauni akasema: Na nani huyo Mola Mlezi wa walimwengu wote?

Sura Aya 23/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema