Ash-Shu'ara · 88/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
يَوْمَ لَا يَنفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ ۝٨٨
Yawma laa yanfa`u maalunw wa laa banoon
📖 Kwa Kiswahili
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 86-90 — Ash-Shu'ara

86وَاغْفِرْ لِأَبِي إِنَّهُ كَانَ مِنَ الضَّالِّينَ
Na umsamehe baba yangu, kwani hakika alikuwa miongoni mwa wapotovu.
87وَلَا تُخْزِنِي يَوْمَ يُبْعَثُونَ
Wala usinihizi Siku watapo fufuliwa.
88يَوْمَ لَا يَنفَعُ مَالٌ وَلَا بَنُونَ
Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.
89إِلَّا مَنْ أَتَى اللَّهَ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Isipo kuwa mwenye kumjia Mwenyezi Mungu na moyo safi.
90وَأُزْلِفَتِ الْجَنَّةُ لِلْمُتَّقِينَ
Na Pepo itasogezwa kwa wachamngu.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
88Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 88

Sura Ash-Shu'ara Aya 88 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Siku ambayo kwamba mali hayato faa kitu wala wana.

Sura Aya 88/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 86–90. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema