Ash-Shu'ara · 96/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ ۝٩٦
Qaaloo wa hum feehaa yakkhtasimoon
📖 Kwa Kiswahili
Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo:
🎧 Sikiliza

📜 Aya 94-98 — Ash-Shu'ara

94فَكُبْكِبُوا فِيهَا هُمْ وَالْغَاوُونَ
Basi watavurumizwa humo wao na hao wakosefu,
95وَجُنُودُ إِبْلِيسَ أَجْمَعُونَ
Na majeshi ya Ibilisi yote.
96قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ
Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo:
97تَاللَّهِ إِن كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ
Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri,
98إِذْ نُسَوِّيكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
96Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 96

Sura Ash-Shu'ara Aya 96 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo:

Sura Aya 96/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 94–98. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema