As-Saffat · 140/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
إِذْ أَبَقَ إِلَى الْفُلْكِ الْمَشْحُونِ ۝١٤٠
Iz abaqa ilal fulkil mash hoon
📖 Kwa Kiswahili
Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 138-142 — As-Saffat

138وَبِاللَّيْلِ ۗ أَفَلَا تَعْقِلُونَ
Na usiku. Basi je! Hamyatii akilini?
139وَإِنَّ يُونُسَ لَمِنَ الْمُرْسَلِينَ
Na hakika Yunus alikuwa miongoni mwa Mitume.
140إِذْ أَبَقَ إِلَى الْفُلْكِ الْمَشْحُونِ
Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.
141فَسَاهَمَ فَكَانَ مِنَ الْمُدْحَضِينَ
Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
142فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
140Aya

Tafsiri — As-Saffat 140

Sura As-Saffat Aya 140 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.

Sura Aya 140/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 138–142. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema