As-Saffat · 141/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَسَاهَمَ فَكَانَ مِنَ الْمُدْحَضِينَ ۝١٤١
Fasaahama fakaana minal mudhadeen
📖 Kwa Kiswahili
Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 139-143 — As-Saffat

139وَإِنَّ يُونُسَ لَمِنَ الْمُرْسَلِينَ
Na hakika Yunus alikuwa miongoni mwa Mitume.
140إِذْ أَبَقَ إِلَى الْفُلْكِ الْمَشْحُونِ
Alipo kimbia katika jahazi lilio sheheni.
141فَسَاهَمَ فَكَانَ مِنَ الْمُدْحَضِينَ
Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.
142فَالْتَقَمَهُ الْحُوتُ وَهُوَ مُلِيمٌ
Samaki akammeza hali ya kuwa ni mwenye kulaumiwa.
143فَلَوْلَا أَنَّهُ كَانَ مِنَ الْمُسَبِّحِينَ
Na ingeli kuwa hakuwa katika wanao mtakasa Mwenyezi Mungu,
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
141Aya

Tafsiri — As-Saffat 141

Sura As-Saffat Aya 141 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akaingia katika kupigiwa kura, na akawa katika walio shindwa.

Sura Aya 141/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 139–143. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema