As-Saffat · 170/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَكَفَرُوا بِهِ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ ۝١٧٠
Fakafaroo bihee fasawfa ya`lamoon
📖 Kwa Kiswahili
Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 168-172 — As-Saffat

168لَوْ أَنَّ عِندَنَا ذِكْرًا مِّنَ الْأَوَّلِينَ
Tungeli kuwa na Ukumbusho kama wa watu wa zamani,
169لَكُنَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Bila ya shaka tungeli kuwa ni waja wa Mwenyezi Mungu wenye ikhlasi.
170فَكَفَرُوا بِهِ ۖ فَسَوْفَ يَعْلَمُونَ
Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.
171وَلَقَدْ سَبَقَتْ كَلِمَتُنَا لِعِبَادِنَا الْمُرْسَلِينَ
Na bila ya shaka neno letu lilikwisha tangulia kwa waja wetu walio tumwa.
172إِنَّهُمْ لَهُمُ الْمَنصُورُونَ
Ya kuwa wao bila ya shaka ndio watakao nusuriwa.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
170Aya

Tafsiri — As-Saffat 170

Sura As-Saffat Aya 170 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Lakini waliukataa. Basi watakuja jua.

Sura Aya 170/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 168–172. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema