As-Saffat · 68/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
ثُمَّ إِنَّ مَرْجِعَهُمْ لَإِلَى الْجَحِيمِ ۝٦٨
Summa inna marji`ahum la ilal Jaheem
📖 Kwa Kiswahili
Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 66-70 — As-Saffat

66فَإِنَّهُمْ لَآكِلُونَ مِنْهَا فَمَالِئُونَ مِنْهَا الْبُطُونَ
Basi hakika bila ya shaka hao watayala hayo, na wajaze matumbo.
67ثُمَّ إِنَّ لَهُمْ عَلَيْهَا لَشَوْبًا مِّنْ حَمِيمٍ
Kisha juu yake wanyweshwe mchanganyo wa maji yamoto yaliyo chemka.
68ثُمَّ إِنَّ مَرْجِعَهُمْ لَإِلَى الْجَحِيمِ
Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.
69إِنَّهُمْ أَلْفَوْا آبَاءَهُمْ ضَالِّينَ
Hakika waliwakuta baba zao wamepotea.
70فَهُمْ عَلَىٰ آثَارِهِمْ يُهْرَعُونَ
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
68Aya

Tafsiri — As-Saffat 68

Sura As-Saffat Aya 68 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.

Sura Aya 68/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 66–70. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema