As-Saffat · 85/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَاذَا تَعْبُدُونَ ۝٨٥
Iz qaala li abeehi wa qawmihee maazaa ta`budoon
📖 Kwa Kiswahili
Alimwambia baba yake na watu wake: Mnaabudu nini?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 83-87 — As-Saffat

83۞ وَإِنَّ مِن شِيعَتِهِ لَإِبْرَاهِيمَ
Na hakika Ibrahim alikuwa katika kundi lake,
84إِذْ جَاءَ رَبَّهُ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Alipo mjia Mola wake Mlezi kwa moyo mzima.
85إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَاذَا تَعْبُدُونَ
Alimwambia baba yake na watu wake: Mnaabudu nini?
86أَئِفْكًا آلِهَةً دُونَ اللَّهِ تُرِيدُونَ
Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
87فَمَا ظَنُّكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Mnamdhania nini Mola Mlezi wa walimwengu wote?
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
85Aya

Tafsiri — As-Saffat 85

Sura As-Saffat Aya 85 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Alimwambia baba yake na watu wake: Mnaabudu nini?

Sura Aya 85/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 83–87. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema