As-Saffat · 86/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
أَئِفْكًا آلِهَةً دُونَ اللَّهِ تُرِيدُونَ ۝٨٦
A`ifkan aalihatan doonal laahi tureedoon
📖 Kwa Kiswahili
Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 84-88 — As-Saffat

84إِذْ جَاءَ رَبَّهُ بِقَلْبٍ سَلِيمٍ
Alipo mjia Mola wake Mlezi kwa moyo mzima.
85إِذْ قَالَ لِأَبِيهِ وَقَوْمِهِ مَاذَا تَعْبُدُونَ
Alimwambia baba yake na watu wake: Mnaabudu nini?
86أَئِفْكًا آلِهَةً دُونَ اللَّهِ تُرِيدُونَ
Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?
87فَمَا ظَنُّكُم بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Mnamdhania nini Mola Mlezi wa walimwengu wote?
88فَنَظَرَ نَظْرَةً فِي النُّجُومِ
Kisha akapiga jicho kutazama nyota.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
86Aya

Tafsiri — As-Saffat 86

Sura As-Saffat Aya 86 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa kuzua tu mnataka miungu mingine badala ya Mwenyezi Mungu?

Sura Aya 86/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 84–88. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema