As-Saffat · 99/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَقَالَ إِنِّي ذَاهِبٌ إِلَىٰ رَبِّي سَيَهْدِينِ ۝٩٩
Wa qaala innee zaahibun ilaa Rabbee sa yahdeen
📖 Kwa Kiswahili
Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 97-101 — As-Saffat

97قَالُوا ابْنُوا لَهُ بُنْيَانًا فَأَلْقُوهُ فِي الْجَحِيمِ
Wakasema: Mjengeeni jengo, na kisha mtupeni motoni humo!
98فَأَرَادُوا بِهِ كَيْدًا فَجَعَلْنَاهُمُ الْأَسْفَلِينَ
Basi walitaka kumfanyia vitimbi, lakini tukawafanya wao ndio wa chini.
99وَقَالَ إِنِّي ذَاهِبٌ إِلَىٰ رَبِّي سَيَهْدِينِ
Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.
100رَبِّ هَبْ لِي مِنَ الصَّالِحِينَ
Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema.
101فَبَشَّرْنَاهُ بِغُلَامٍ حَلِيمٍ
Basi tukambashiria mwana aliye mpole.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
99Aya

Tafsiri — As-Saffat 99

Sura As-Saffat Aya 99 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi;…

Sura Aya 99/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 97–101. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema