Qaf · 25/45
Tafsiri Uandishi wa sauti — Qaf
مَّنَّاعٍ لِّلْخَيْرِ مُعْتَدٍ مُّرِيبٍ ۝٢٥
Mannaa`il lilkhayri mu`tadim mureeb
📖 Kwa Kiswahili
Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 23-27 — Qaf

23وَقَالَ قَرِينُهُ هَٰذَا مَا لَدَيَّ عَتِيدٌ
Na mwenzake atasema: Huyu niliye naye mimi kesha tayarishwa.
24أَلْقِيَا فِي جَهَنَّمَ كُلَّ كَفَّارٍ عَنِيدٍ
Mtupeni katika Jahannamu kila kafiri mwenye inda,
25مَّنَّاعٍ لِّلْخَيْرِ مُعْتَدٍ مُّرِيبٍ
Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,
26الَّذِي جَعَلَ مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ فَأَلْقِيَاهُ فِي الْعَذَابِ الشَّدِيدِ
Aliye weka mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Basi mtupeni katika adhabu kali.
27۞ قَالَ قَرِينُهُ رَبَّنَا مَا أَطْغَيْتُهُ وَلَٰكِن كَانَ فِي ضَلَالٍ بَعِيدٍ
Mwenzake aseme: Ee Mola wetu Mlezi! Sikumpoteza mimi, bali yeye mwenyewe alikuwa katika upotovu wa mbali.
QafFaharasa ya Qurani
45Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — Qaf 25

Sura Qaf Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akatazaye kheri, arukaye mipaka, mwenye kutia shaka,

Sura Aya 25/45 — Qaf ق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Qaf Sikiliza, Qaf Tafsiri, Qaf mp3, Qaf pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema