An-Najm · 10/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
فَأَوْحَىٰ إِلَىٰ عَبْدِهِ مَا أَوْحَىٰ ۝١٠
Fa awhaaa ilaa `abdihee maaa awhaa
📖 Kwa Kiswahili
Akamfunulia mja wake (Mwenyezi Mungu) alicho mfunulia.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 8-12 — An-Najm

8ثُمَّ دَنَا فَتَدَلَّىٰ
Kisha akakaribia na akateremka.
9فَكَانَ قَابَ قَوْسَيْنِ أَوْ أَدْنَىٰ
Akawa ni kama baina ya mipinde miwili, au karibu zaidi.
10فَأَوْحَىٰ إِلَىٰ عَبْدِهِ مَا أَوْحَىٰ
Akamfunulia mja wake (Mwenyezi Mungu) alicho mfunulia.
11مَا كَذَبَ الْفُؤَادُ مَا رَأَىٰ
Moyo haukusema uwongo uliyo yaona.
12أَفَتُمَارُونَهُ عَلَىٰ مَا يَرَىٰ
Je! Mnabishana naye kwa aliyo yaona?
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
10Aya

Tafsiri — An-Najm 10

Sura An-Najm Aya 10 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akamfunulia mja wake (Mwenyezi Mungu) alicho mfunulia.

Sura Aya 10/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 8–12. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema