Al-Waqi'a · 62/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
وَلَقَدْ عَلِمْتُمُ النَّشْأَةَ الْأُولَىٰ فَلَوْلَا تَذَكَّرُونَ ۝٦٢
Wa laqad `alimtumun nash atal oolaa falaw laa tazakkaroon
📖 Kwa Kiswahili
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 60-64 — Al-Waqi'a

60نَحْنُ قَدَّرْنَا بَيْنَكُمُ الْمَوْتَ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ
Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi
61عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ أَمْثَالَكُمْ وَنُنشِئَكُمْ فِي مَا لَا تَعْلَمُونَ
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua.
62وَلَقَدْ عَلِمْتُمُ النَّشْأَةَ الْأُولَىٰ فَلَوْلَا تَذَكَّرُونَ
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
63أَفَرَأَيْتُم مَّا تَحْرُثُونَ
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
64أَأَنتُمْ تَزْرَعُونَهُ أَمْ نَحْنُ الزَّارِعُونَ
Je! Ni nyinyi mnayo yaotesha au ni Sisi ndio wenye kuotesha?
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
62Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 62

Sura Al-Waqi'a Aya 62 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi…

Sura Aya 62/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 60–64. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema