Al-Waqi'a · 63/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
أَفَرَأَيْتُم مَّا تَحْرُثُونَ ۝٦٣
Afara`aytum maa tahrusoon
📖 Kwa Kiswahili
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 61-65 — Al-Waqi'a

61عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ أَمْثَالَكُمْ وَنُنشِئَكُمْ فِي مَا لَا تَعْلَمُونَ
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua.
62وَلَقَدْ عَلِمْتُمُ النَّشْأَةَ الْأُولَىٰ فَلَوْلَا تَذَكَّرُونَ
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
63أَفَرَأَيْتُم مَّا تَحْرُثُونَ
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
64أَأَنتُمْ تَزْرَعُونَهُ أَمْ نَحْنُ الزَّارِعُونَ
Je! Ni nyinyi mnayo yaotesha au ni Sisi ndio wenye kuotesha?
65لَوْ نَشَاءُ لَجَعَلْنَاهُ حُطَامًا فَظَلْتُمْ تَفَكَّهُونَ
Tungeli taka tungeli yafanya yakawa mapepe, mkabaki mnastaajabu,
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
63Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 63

Sura Al-Waqi'a Aya 63 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?

Sura Aya 63/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 61–65. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema