Al-Waqi'a · 61/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ أَمْثَالَكُمْ وَنُنشِئَكُمْ فِي مَا لَا تَعْلَمُونَ ۝٦١
Alaaa an nubaddila amsaalakum wa nunshi`akum fee maa laa ta`lamoon
📖 Kwa Kiswahili
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 59-63 — Al-Waqi'a

59أَأَنتُمْ تَخْلُقُونَهُ أَمْ نَحْنُ الْخَالِقُونَ
Je! Mnaiumba nyinyi, au ni Sisi ndio Waumbaji?
60نَحْنُ قَدَّرْنَا بَيْنَكُمُ الْمَوْتَ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ
Sisi tumekuwekeeni mauti; na wala Sisi hatushindwi
61عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ أَمْثَالَكُمْ وَنُنشِئَكُمْ فِي مَا لَا تَعْلَمُونَ
Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo lijua.
62وَلَقَدْ عَلِمْتُمُ النَّشْأَةَ الْأُولَىٰ فَلَوْلَا تَذَكَّرُونَ
Na bila ya shaka mlikwisha jua umbo la kwanza, basi kwa nini hamkumbuki?
63أَفَرَأَيْتُم مَّا تَحْرُثُونَ
Je! Mnaona makulima mnayo yapanda?
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
61Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 61

Sura Al-Waqi'a Aya 61 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kuwaleta wengine badala yenu na kukuumbeni nyinyi kwa umbo msilo…

Sura Aya 61/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 59–63. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema