Al-Qalam · 16/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
سَنَسِمُهُ عَلَى الْخُرْطُومِ ۝١٦
Sanasimuhoo `alal khurtoom
📖 Kwa Kiswahili
Tutamtia kovu juu ya pua yake.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 14-18 — Al-Qalam

14أَن كَانَ ذَا مَالٍ وَبَنِينَ
Ati kwa kuwa ana mali na watoto!
15إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
16سَنَسِمُهُ عَلَى الْخُرْطُومِ
Tutamtia kovu juu ya pua yake.
17إِنَّا بَلَوْنَاهُمْ كَمَا بَلَوْنَا أَصْحَابَ الْجَنَّةِ إِذْ أَقْسَمُوا لَيَصْرِمُنَّهَا مُصْبِحِينَ
Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
18وَلَا يَسْتَثْنُونَ
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — Al-Qalam 16

Sura Al-Qalam Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tutamtia kovu juu ya pua yake.

Sura Aya 16/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema