Al-Qalam · 23/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
فَانطَلَقُوا وَهُمْ يَتَخَافَتُونَ ۝٢٣
Fantalaqoo wa hum yatakhaafatoon
📖 Kwa Kiswahili
Basi walikwenda na huku wakinong'onezana,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 21-25 — Al-Qalam

21فَتَنَادَوْا مُصْبِحِينَ
Asubuhi wakaitana.
22أَنِ اغْدُوا عَلَىٰ حَرْثِكُمْ إِن كُنتُمْ صَارِمِينَ
Ya kwamba nendeni kondeni mwenu ikiwa mnataka kuvuna.
23فَانطَلَقُوا وَهُمْ يَتَخَافَتُونَ
Basi walikwenda na huku wakinong'onezana,
24أَن لَّا يَدْخُلَنَّهَا الْيَوْمَ عَلَيْكُم مِّسْكِينٌ
Ya kuwa leo hata masikini mmoja asikuingilieni.
25وَغَدَوْا عَلَىٰ حَرْدٍ قَادِرِينَ
Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — Al-Qalam 23

Sura Al-Qalam Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi walikwenda na huku wakinong'onezana,

Sura Aya 23/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema