Al-Qalam · 24/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
أَن لَّا يَدْخُلَنَّهَا الْيَوْمَ عَلَيْكُم مِّسْكِينٌ ۝٢٤
Al laa yadkhulannahal yawma `alaikum miskeen
📖 Kwa Kiswahili
Ya kuwa leo hata masikini mmoja asikuingilieni.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 22-26 — Al-Qalam

22أَنِ اغْدُوا عَلَىٰ حَرْثِكُمْ إِن كُنتُمْ صَارِمِينَ
Ya kwamba nendeni kondeni mwenu ikiwa mnataka kuvuna.
23فَانطَلَقُوا وَهُمْ يَتَخَافَتُونَ
Basi walikwenda na huku wakinong'onezana,
24أَن لَّا يَدْخُلَنَّهَا الْيَوْمَ عَلَيْكُم مِّسْكِينٌ
Ya kuwa leo hata masikini mmoja asikuingilieni.
25وَغَدَوْا عَلَىٰ حَرْدٍ قَادِرِينَ
Na walikwenda asubuhi, nao wameshikilia azimio hilo.
26فَلَمَّا رَأَوْهَا قَالُوا إِنَّا لَضَالُّونَ
Basi walipo liona, wakasema: Hakika tumepotea!
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — Al-Qalam 24

Sura Al-Qalam Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ya kuwa leo hata masikini mmoja asikuingilieni.

Sura Aya 24/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema