Al-Haqqa · 26/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَلَمْ أَدْرِ مَا حِسَابِيَهْ ۝٢٦
Wa lam adri maa hisaabiyah
📖 Kwa Kiswahili
Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 24-28 — Al-Haqqa

24كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا أَسْلَفْتُمْ فِي الْأَيَّامِ الْخَالِيَةِ
Waambiwe: Kuleni na mnywe kwa furaha kwa sababu ya mlivyo tanguliza katika siku zilizo pita.
25وَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِشِمَالِهِ فَيَقُولُ يَا لَيْتَنِي لَمْ أُوتَ كِتَابِيَهْ
Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!
26وَلَمْ أَدْرِ مَا حِسَابِيَهْ
Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.
27يَا لَيْتَهَا كَانَتِ الْقَاضِيَةَ
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
28مَا أَغْنَىٰ عَنِّي مَالِيَهْ ۜ
Mali yangu hayakunifaa kitu.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
26Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 26

Sura Al-Haqqa Aya 26 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.

Sura Aya 26/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 24–28. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema