Al-Haqqa · 27/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
يَا لَيْتَهَا كَانَتِ الْقَاضِيَةَ ۝٢٧
Yaa laitahaa kaanatil qaadiyah
📖 Kwa Kiswahili
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 25-29 — Al-Haqqa

25وَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِشِمَالِهِ فَيَقُولُ يَا لَيْتَنِي لَمْ أُوتَ كِتَابِيَهْ
Na ama atakaye pewa kitabu chake katika mkono wake wa kushoto, basi yeye atasema: Laiti nisingeli pewa kitabu changu!
26وَلَمْ أَدْرِ مَا حِسَابِيَهْ
Wala nisingeli jua nini hisabu yangu.
27يَا لَيْتَهَا كَانَتِ الْقَاضِيَةَ
Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.
28مَا أَغْنَىٰ عَنِّي مَالِيَهْ ۜ
Mali yangu hayakunifaa kitu.
29هَلَكَ عَنِّي سُلْطَانِيَهْ
Madaraka yangu yamenipotea.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
27Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 27

Sura Al-Haqqa Aya 27 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Laiti mauti ndiyo yangeli kuwa ya kunimaliza kabisa.

Sura Aya 27/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 25–29. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema