Al-Muddaththir · 22/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
ثُمَّ عَبَسَ وَبَسَرَ ۝٢٢
Summa `abasa wa basar
📖 Kwa Kiswahili
Kisha akakunja kipaji, na akanuna.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 20-24 — Al-Muddaththir

20ثُمَّ قُتِلَ كَيْفَ قَدَّرَ
Tena ameangamia! Vipi alivyo pima!
21ثُمَّ نَظَرَ
Kisha akatazama,
22ثُمَّ عَبَسَ وَبَسَرَ
Kisha akakunja kipaji, na akanuna.
23ثُمَّ أَدْبَرَ وَاسْتَكْبَرَ
Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.
24فَقَالَ إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ يُؤْثَرُ
Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
22Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 22

Sura Al-Muddaththir Aya 22 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kisha akakunja kipaji, na akanuna.

Sura Aya 22/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 20–24. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema