Abasa · 6/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
فَأَنتَ لَهُ تَصَدَّىٰ ۝٦
Fa-anta lahu tasaddaa
📖 Kwa Kiswahili
Wewe ndio unamshughulikia?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 4-8 — Abasa

4أَوْ يَذَّكَّرُ فَتَنفَعَهُ الذِّكْرَىٰ
Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?
5أَمَّا مَنِ اسْتَغْنَىٰ
Ama ajionaye hana haja,
6فَأَنتَ لَهُ تَصَدَّىٰ
Wewe ndio unamshughulikia?
7وَمَا عَلَيْكَ أَلَّا يَزَّكَّىٰ
Na si juu yako kama hakutakasika.
8وَأَمَّا مَن جَاءَكَ يَسْعَىٰ
Ama anaye kujia kwa juhudi,
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — Abasa 6

Sura Abasa Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wewe ndio unamshughulikia?

Sura Aya 6/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema